Ezra 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova Mungu wa Israeli, wewe ni mwadilifu,+ kwa maana tumeokoka na kubaki mpaka leo. Sasa tumesimama mbele zako tukiwa na hatia, kwa maana hatuwezi kusimama mbele zako kwa sababu ya jambo hili.”+
15 Ee Yehova Mungu wa Israeli, wewe ni mwadilifu,+ kwa maana tumeokoka na kubaki mpaka leo. Sasa tumesimama mbele zako tukiwa na hatia, kwa maana hatuwezi kusimama mbele zako kwa sababu ya jambo hili.”+