Kumbukumbu la Torati 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akawajulisha ninyi agano+ lake, alilowaamuru mtende—yale Maneno Kumi,+ kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe.+ Yohana 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako. Yakobo 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana ikiwa yeyote ni msikiaji wa neno, na si mtendaji,+ huyo ni kama mtu anayeutazama uso wake wa asili katika kioo.
13 Naye akawajulisha ninyi agano+ lake, alilowaamuru mtende—yale Maneno Kumi,+ kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe.+
6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako.
23 Kwa maana ikiwa yeyote ni msikiaji wa neno, na si mtendaji,+ huyo ni kama mtu anayeutazama uso wake wa asili katika kioo.