Luka 6:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 “Kwa nini, basi, mnaniita ‘Bwana! Bwana!’ lakini hamfanyi mambo ninayosema?+ Yakobo 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ina faida gani, ndugu zangu, kama mtu fulani akisema ana imani+ lakini hana matendo?+ Je, imani hiyo inaweza kumwokoa?+
14 Ina faida gani, ndugu zangu, kama mtu fulani akisema ana imani+ lakini hana matendo?+ Je, imani hiyo inaweza kumwokoa?+