3 kwa maana daima sisi hukumbuka akilini kazi yenu ya uaminifu+ na kazi yenu ya jasho yenye upendo na uvumilivu wenu kwa sababu ya tumaini+ lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo mbele za Mungu wetu na Baba.
8 Neno hilo ni la uaminifu,+ na kuhusu mambo hayo ninatamani usisitize kwa nguvu daima, ili wale ambao wamemwamini Mungu wakaze akili zao juu ya kudumisha matendo yaliyo mazuri.+ Mambo hayo ni mazuri na yenye faida kwa watu.
25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.