Mwanzo 37:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndugu zake wakamwona akiwa mbali, na kabla hajakaribia wakaanza kumpangia kwa ujanja hila ya kumuua.+ Mwanzo 45:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini sasa msihuzunike+ wala msijikasirikie kwa sababu mliniuza huku; kwa sababu Mungu alinituma mbele yenu ili kuhifadhi uhai.+ Zaburi 105:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akamtuma mtu mbele yao,Ambaye aliuzwa awe mtumwa, Yosefu.+ Zaburi 119:71 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 71 Ni vema kwamba nimeteseka,+Ili nipate kujifunza masharti yako.+ Waroma 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+
18 Ndugu zake wakamwona akiwa mbali, na kabla hajakaribia wakaanza kumpangia kwa ujanja hila ya kumuua.+
5 Lakini sasa msihuzunike+ wala msijikasirikie kwa sababu mliniuza huku; kwa sababu Mungu alinituma mbele yenu ili kuhifadhi uhai.+
28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+