Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndugu zake wakamwona akiwa mbali, na kabla hajakaribia wakaanza kumpangia kwa ujanja hila ya kumuua.+

  • Mwanzo 45:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini sasa msihuzunike+ wala msijikasirikie kwa sababu mliniuza huku; kwa sababu Mungu alinituma mbele yenu ili kuhifadhi uhai.+

  • Zaburi 105:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Akamtuma mtu mbele yao,

      Ambaye aliuzwa awe mtumwa, Yosefu.+

  • Zaburi 119:71
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  71 Ni vema kwamba nimeteseka,+

      Ili nipate kujifunza masharti yako.+

  • Waroma 8:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki