Kutoka 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Yehova akamwambia: “Ni nani aliyekifanya kinywa kwa ajili ya mwanadamu au ni nani ambaye humfanya mtu kuwa bubu au kiziwi au mwenye kuona vizuri au kipofu? Je, si mimi, Yehova?+ Yeremia 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Yehova akanyoosha mkono wake na kunigusa kinywa+ changu. Ndipo Yehova akaniambia: “Tazama, nimeyatia maneno yangu katika kinywa chako.+ Mathayo 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 kwa maana wanaosema si ninyi tu, bali ni roho ya Baba yenu inayosema kupitia ninyi.+ Luka 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa maana roho takatifu+ itawafundisha ninyi saa ileile mambo mnayopaswa kusema.”+ Luka 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kwa maana nitawapa ninyi kinywa na hekima, ambayo wapinzani wenu wote wakiwa pamoja hawataweza kushindana nayo wala kubisha.+
11 Ndipo Yehova akamwambia: “Ni nani aliyekifanya kinywa kwa ajili ya mwanadamu au ni nani ambaye humfanya mtu kuwa bubu au kiziwi au mwenye kuona vizuri au kipofu? Je, si mimi, Yehova?+
9 Basi Yehova akanyoosha mkono wake na kunigusa kinywa+ changu. Ndipo Yehova akaniambia: “Tazama, nimeyatia maneno yangu katika kinywa chako.+
15 kwa maana nitawapa ninyi kinywa na hekima, ambayo wapinzani wenu wote wakiwa pamoja hawataweza kushindana nayo wala kubisha.+