Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 94:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yule anayelipanda sikio, je, hawezi kusikia?+

      Au Yule anayelifanya jicho, je, hawezi kutazama?+

  • Isaya 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fanya moyo wa watu hawa kuwa mgumu,+ na uyafanye masikio yao kuwa magumu,+ na ushikanishe macho yao pamoja, ili wasione kwa macho yao na kwa masikio yao wasisikie, na ili moyo wao usielewe na ili kwa kweli wasigeuke na kujiponya.”+

  • Luka 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini, tazama! utakuwa kimya+ nawe hutaweza kusema mpaka siku ambayo mambo hayo yatatendeka, kwa sababu hukuamini maneno yangu, ambayo yatatimizwa katika wakati wake uliowekwa.”

  • Matendo 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hivyo, basi, tazama! mkono wa Yehova uko juu yako wewe, nawe utakuwa kipofu, usiweze kuiona nuru ya jua kwa kipindi fulani.” Mara moja ukungu mzito na giza vikamwangukia, naye akazunguka akitafuta watu wa kumwongoza wakiwa wamemshika mkono.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki