10 Fanya moyo wa watu hawa kuwa mgumu,+ na uyafanye masikio yao kuwa magumu,+ na ushikanishe macho yao pamoja, ili wasione kwa macho yao na kwa masikio yao wasisikie, na ili moyo wao usielewe na ili kwa kweli wasigeuke na kujiponya.”+
20 Lakini, tazama! utakuwa kimya+ nawe hutaweza kusema mpaka siku ambayo mambo hayo yatatendeka, kwa sababu hukuamini maneno yangu, ambayo yatatimizwa katika wakati wake uliowekwa.”
11 Hivyo, basi, tazama! mkono wa Yehova uko juu yako wewe, nawe utakuwa kipofu, usiweze kuiona nuru ya jua kwa kipindi fulani.” Mara moja ukungu mzito na giza vikamwangukia, naye akazunguka akitafuta watu wa kumwongoza wakiwa wamemshika mkono.+