Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 21:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo Mungu akaisikia sauti ya huyo mvulana,+ na malaika wa Mungu akamwita Hagari kutoka mbinguni na kumwambia:+ “Una nini, Hagari? Usiogope, kwa sababu Mungu amesikiliza sauti ya huyo mvulana pale alipo.

  • Kutoka 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Yehova akamwambia: “Ni nani aliyekifanya kinywa kwa ajili ya mwanadamu au ni nani ambaye humfanya mtu kuwa bubu au kiziwi au mwenye kuona vizuri au kipofu? Je, si mimi, Yehova?+

  • Zaburi 55:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu atasikia na kuwajibu,+

      Naam, Yeye anayeketi juu ya kiti cha ufalme kama zamani+—Sela—

      Wale ambao hawafanyi mabadiliko+

      Na ambao hawajamwogopa Mungu.+

  • Zaburi 69:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa maana Yehova anawasikiliza maskini,+

      Wala kwa kweli hatawadharau wafungwa wake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki