Zaburi 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Maneno ya ukosaji kwa mtu mwovu yako katikati ya moyo wake;+Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+ Sefania 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Na itatukia wakati huo kwamba nitapekua Yerusalemu kwa uangalifu kwa kutumia taa,+ nami nitakaza fikira kwa watu wanaoganda juu ya machicha yao,+ wanaosema moyoni mwao, ‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+
36 Maneno ya ukosaji kwa mtu mwovu yako katikati ya moyo wake;+Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.+
12 “Na itatukia wakati huo kwamba nitapekua Yerusalemu kwa uangalifu kwa kutumia taa,+ nami nitakaza fikira kwa watu wanaoganda juu ya machicha yao,+ wanaosema moyoni mwao, ‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+