Zaburi 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa nini mwovu amekosa kumheshimu Mungu?+Amesema katika moyo wake: “Wewe hutatoza hesabu.”+ Zaburi 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.Hakuna yeyote anayefanya mema.+ Zaburi 94:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wanaendelea kusema: “Yah haoni;+Na Mungu wa Yakobo haelewi hilo.”+ 2 Petro 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na kusema:+ “Huku kuwapo kwake kulikoahidiwa kuko wapi?+ Kwani, tangu siku mababu zetu walipolala katika kifo, mambo yote yanaendelea sawasawa kama tangu mwanzo wa uumbaji.”+
14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.Hakuna yeyote anayefanya mema.+
4 na kusema:+ “Huku kuwapo kwake kulikoahidiwa kuko wapi?+ Kwani, tangu siku mababu zetu walipolala katika kifo, mambo yote yanaendelea sawasawa kama tangu mwanzo wa uumbaji.”+