Zaburi 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mpumbavu* husema moyoni mwake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao yamepotoka, na shughuli zao zinachukiza;Hakuna yeyote anayetenda mema.+ Zaburi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 14:1 w97 10/1 6-7 Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:1 Mnara wa Mlinzi,10/1/1997, kur. 6-7
14 Mpumbavu* husema moyoni mwake: “Hakuna Yehova.”+ Matendo yao yamepotoka, na shughuli zao zinachukiza;Hakuna yeyote anayetenda mema.+