Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 107:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kuna wale waliokuwa wakikaa katika giza na kivuli kizito,+

      Wafungwa katika mateso na vyuma.+

  • Zaburi 146:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yeye anayetekeleza hukumu kwa ajili ya waliopunjwa,+

      Yeye anayewapa wenye njaa mkate.+

      Yehova anawafungua wale waliofungwa.+

  • Isaya 61:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Roho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova iko juu yangu,+ kwa sababu Yehova amenitia mafuta+ niwatangazie wapole habari njema.+ Amenituma kufunga majeraha ya waliovunjika moyo,+ kutangaza uhuru kwa wale waliochukuliwa mateka+ na kufunguliwa kabisa kwa macho hata kwa walio wafungwa;+

  • Zekaria 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Nawe pia, Ee mwanamke, nitawatoa wafungwa+ wako kutoka katika shimo ambalo halina maji kwa kutumia damu ya agano+ lako.

  • Matendo 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini wakati wa usiku malaika+ wa Yehova akaifungua milango ya gereza,+ akawatoa nje na kusema:

  • Matendo 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini, tazama! malaika wa Yehova akasimama+ kando, na nuru ikang’aa katika chumba cha gereza. Akampiga Petro ubavuni, akamwamsha,+ akisema: “Amka upesi!” Na minyororo yake ikaanguka+ kutoka kwenye mikono yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki