2 Mambo ya Nyakati 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwishowe Yehova akaleta juu yao+ wakuu wa jeshi la mfalme wa Ashuru,+ nao wakamteka Manase katika mashimo+ na kumfunga+ kwa pingu mbili za shaba, wakampeleka Babiloni. Ayubu 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na ikiwa wamefungwa pingu,+Wanatekwa kwa kamba za mateso. Zaburi 105:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wakaitesa miguu yake kwa pingu,+Nafsi yake ikaingia katika vyuma;+ Zaburi 149:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ili kuwafunga wafalme wao kwa minyororo+Na watu wao waliotukuzwa kwa pingu za chuma, Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025) Toka Ingia Kiswahili Shiriki Mapendezi Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania Masharti ya Utumiaji Sera ya Faragha Mpangilio wa Faragha JW.ORG Ingia Shiriki Shiriki Kupitia Barua-pepe
11 Mwishowe Yehova akaleta juu yao+ wakuu wa jeshi la mfalme wa Ashuru,+ nao wakamteka Manase katika mashimo+ na kumfunga+ kwa pingu mbili za shaba, wakampeleka Babiloni.
18 Wakaitesa miguu yake kwa pingu,+Nafsi yake ikaingia katika vyuma;+ Zaburi 149:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ili kuwafunga wafalme wao kwa minyororo+Na watu wao waliotukuzwa kwa pingu za chuma,