Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mwishowe Yehova akaleta juu yao+ wakuu wa jeshi la mfalme wa Ashuru,+ nao wakamteka Manase katika mashimo+ na kumfunga+ kwa pingu mbili za shaba, wakampeleka Babiloni.

  • Ayubu 36:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Na ikiwa wamefungwa pingu,+

      Wanatekwa kwa kamba za mateso.

  • Zaburi 105:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wakaitesa miguu yake kwa pingu,+

      Nafsi yake ikaingia katika vyuma;+

  • Zaburi 149:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ili kuwafunga wafalme wao kwa minyororo+

      Na watu wao waliotukuzwa kwa pingu za chuma,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki