Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 16:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tena, malaika wa Yehova akamwambia: “Tazama una mimba, nawe utazaa mwana, nawe utamwita jina lake Ishmaeli;+ kwa kuwa Yehova ameyasikia mateso yako.+

  • Zaburi 22:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana hakudharau+

      Wala kuchoshwa na mateso ya mwenye kuteseka;+

      Naye hakumficha uso wake,+

      Naye alipomlilia amsaidie alisikia.+

  • Zaburi 68:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Baba ya wavulana wasio na baba na mwamuzi wa wajane+

      Ni Mungu katika makao yake matakatifu.+

  • Zaburi 146:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+

      Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+

      Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki