Mwanzo 16:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tena, malaika wa Yehova akamwambia: “Tazama una mimba, nawe utazaa mwana, nawe utamwita jina lake Ishmaeli;+ kwa kuwa Yehova ameyasikia mateso yako.+ Zaburi 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana hakudharau+Wala kuchoshwa na mateso ya mwenye kuteseka;+Naye hakumficha uso wake,+Naye alipomlilia amsaidie alisikia.+ Zaburi 68:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baba ya wavulana wasio na baba na mwamuzi wa wajane+Ni Mungu katika makao yake matakatifu.+ Zaburi 146:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+
11 Tena, malaika wa Yehova akamwambia: “Tazama una mimba, nawe utazaa mwana, nawe utamwita jina lake Ishmaeli;+ kwa kuwa Yehova ameyasikia mateso yako.+
24 Kwa maana hakudharau+Wala kuchoshwa na mateso ya mwenye kuteseka;+Naye hakumficha uso wake,+Naye alipomlilia amsaidie alisikia.+
9 Yehova anawalinda wakaaji wageni;+Humtuliza mvulana asiye na baba na mjane,+Lakini njia+ ya waovu yeye huipotosha.+