Mwanzo 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Yehova akasema: “Tazama! Watu hawa ni kitu kimoja na wanazungumza lugha moja,+ na hili ndilo jambo waliloanza kufanya. Sasa hakuna jambo lolote wanalokusudia kufanya litakalowashinda.
6 Ndipo Yehova akasema: “Tazama! Watu hawa ni kitu kimoja na wanazungumza lugha moja,+ na hili ndilo jambo waliloanza kufanya. Sasa hakuna jambo lolote wanalokusudia kufanya litakalowashinda.