Mwanzo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mungu akaendelea kusema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kwa sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetembea juu ya dunia.”+ Mwanzo 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kisha Mungu akaona kila kitu alichokuwa amefanya na, tazama! kilikuwa chema sana.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya sita. Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
26 Mungu akaendelea kusema: “Na tufanye+ mtu kwa mfano+ wetu, kwa sura+ yetu, nao watawale samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na wanyama wa kufugwa na dunia yote na kila mnyama anayetembea juu ya dunia.”+
31 Kisha Mungu akaona kila kitu alichokuwa amefanya na, tazama! kilikuwa chema sana.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya sita.
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+