Zaburi 69:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hakika wapole wataliona hilo; watashangilia.+Ninyi mnaomtafuta Mungu, moyo wenu na uendelee kuwa hai.+ Methali 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye baba alikuwa akinifundisha+ na kuniambia: “Moyo+ wako upate kushika sana maneno yangu.+ Shika amri zangu, uendelee kuishi.+ Isaya 55:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tegeni sikio+ mnijie.+ Sikilizeni, na nafsi yenu itaendelea kuwa hai,+ na bila kusita mimi nitafanya pamoja nanyi agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo+ kuhusu fadhili zenye upendo kwa Daudi ambazo ni za uaminifu.+
32 Hakika wapole wataliona hilo; watashangilia.+Ninyi mnaomtafuta Mungu, moyo wenu na uendelee kuwa hai.+
4 Naye baba alikuwa akinifundisha+ na kuniambia: “Moyo+ wako upate kushika sana maneno yangu.+ Shika amri zangu, uendelee kuishi.+
3 Tegeni sikio+ mnijie.+ Sikilizeni, na nafsi yenu itaendelea kuwa hai,+ na bila kusita mimi nitafanya pamoja nanyi agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo+ kuhusu fadhili zenye upendo kwa Daudi ambazo ni za uaminifu.+