8 Yehova amesema hivi: “Kama vile divai mpya+ inavyopatikana katika kishada na mtu husema, ‘Usikiharibu,+ kwa sababu baraka imo ndani yake,’+ ndivyo nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu ili nisimharibu kila mtu.+
19 Je, bado kuna mbegu katika shimo la nafaka?+ Na kufikia sasa, mzabibu na mtini na mkomamanga na mzeituni—je, umezaa? Kuanzia leo hii nitatoa baraka.’ ”+