Isaya 65:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova anasema hivi: “Kama divai mpya inapopatikana katika kishada cha zabibuKisha mtu anasema, ‘Usikiharibu, kwa sababu kuna kitu kizuri* ndani yake,’ Ndivyo nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu;Sitawaangamiza wote.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 65:8 ip-2 376-377 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 65:8 Unabii wa Isaya II, kur. 376-377
8 Yehova anasema hivi: “Kama divai mpya inapopatikana katika kishada cha zabibuKisha mtu anasema, ‘Usikiharibu, kwa sababu kuna kitu kizuri* ndani yake,’ Ndivyo nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu;Sitawaangamiza wote.+