2 Samweli 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Daudi akaendelea kutawala juu ya Israeli+ yote; na Daudi akaendelea kutoa uamuzi wa hukumu na uadilifu+ kwa ajili ya watu wake wote.+ 2 Samweli 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wa Israeli alisema,Mwamba wa Israeli aliniambia,+‘Wakati yeye anayetawala juu ya wanadamu ni mwadilifu,+Akitawala kwa kumwogopa Mungu,+ Zaburi 78:72 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Naye akaanza kuwachunga kulingana na utimilifu wa moyo wake,+Naye akaanza kuwaongoza kwa ustadi wa mikono yake.+
15 Na Daudi akaendelea kutawala juu ya Israeli+ yote; na Daudi akaendelea kutoa uamuzi wa hukumu na uadilifu+ kwa ajili ya watu wake wote.+
3 Mungu wa Israeli alisema,Mwamba wa Israeli aliniambia,+‘Wakati yeye anayetawala juu ya wanadamu ni mwadilifu,+Akitawala kwa kumwogopa Mungu,+
72 Naye akaanza kuwachunga kulingana na utimilifu wa moyo wake,+Naye akaanza kuwaongoza kwa ustadi wa mikono yake.+