2 Wafalme 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+ 2 Mambo ya Nyakati 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ ila tu si kwa moyo kamili.+ 2 Mambo ya Nyakati 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Hezekia akafanya hivyo katika Yuda yote, naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mema+ na sawa+ na yenye uaminifu+ mbele za Yehova Mungu wake. Zaburi 119:80 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 80 Moyo wangu uwe hauna kosa katika masharti yako,+Ili nisione aibu.+
3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+
20 Na Hezekia akafanya hivyo katika Yuda yote, naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mema+ na sawa+ na yenye uaminifu+ mbele za Yehova Mungu wake.