4 Na ikawa kwamba wakati Sulemani alipokuwa mzee,+ wake zake wakawa wameugeuza+ moyo wake ukaifuata miungu mingine;+ na moyo wake haukuwa mkamilifu+ kwa Yehova Mungu wake, kama moyo wa Daudi baba yake.
3 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa manyoofu machoni pa Yehova,+ ila tu si kama Daudi babu yake.+ Akafanya kulingana na yote ambayo Yehoashi baba yake alifanya.+