Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Utajionyesha kuwa huna kosa kwa Yehova Mungu wako.+

  • 1 Wafalme 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na ikawa kwamba wakati Sulemani alipokuwa mzee,+ wake zake wakawa wameugeuza+ moyo wake ukaifuata miungu mingine;+ na moyo wake haukuwa mkamilifu+ kwa Yehova Mungu wake, kama moyo wa Daudi baba yake.

  • 2 Wafalme 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nawe, Sulemani mwanangu, mjue+ Mungu wa baba yako, umtumikie+ kwa moyo kamili+ na kwa nafsi yenye shangwe;+ kwa maana Yehova anaichunguza mioyo yote,+ naye anatambua kila mwelekeo wa fikira.+ Ukimtafuta, ataacha umpate;+ lakini ukimwacha,+ atakutupa mbali milele.+

  • Zaburi 37:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+

      Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+

  • Mathayo 22:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Akamwambia: “ ‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa akili yako yote.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki