1 Wafalme 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kiti hicho cha ufalme kilikuwa na ngazi sita, kilikuwa na kifuniko cha mviringo mgongoni, nacho kilikuwa na mikono pande zote mbili, na simba wawili+ walisimama kando ya mikono hiyo.
19 Kiti hicho cha ufalme kilikuwa na ngazi sita, kilikuwa na kifuniko cha mviringo mgongoni, nacho kilikuwa na mikono pande zote mbili, na simba wawili+ walisimama kando ya mikono hiyo.