2 Mambo ya Nyakati 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 zaidi ya zile zilizoletwa na wasafiri na wanabiashara+ waliokuwa wakileta na wafalme wote wa Waarabu+ na magavana wa nchi waliokuwa wakimletea Sulemani dhahabu na fedha. 2 Mambo ya Nyakati 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo Yehova akaamsha juu ya Yehoramu roho+ ya Wafilisti+ na Waarabu+ waliokuwa kando ya Waethiopia.+
14 zaidi ya zile zilizoletwa na wasafiri na wanabiashara+ waliokuwa wakileta na wafalme wote wa Waarabu+ na magavana wa nchi waliokuwa wakimletea Sulemani dhahabu na fedha.
16 Kwa hiyo Yehova akaamsha juu ya Yehoramu roho+ ya Wafilisti+ na Waarabu+ waliokuwa kando ya Waethiopia.+