14 zaidi ya zile zilizoletwa na wasafiri na wanabiashara+ waliokuwa wakileta na wafalme wote wa Waarabu+ na magavana wa nchi waliokuwa wakimletea Sulemani dhahabu na fedha.
11 Na kutoka kwa Wafilisti walikuwa wakimletea Yehoshafati zawadi+ na pesa zikiwa ushuru.+ Pia Waarabu+ walikuwa wakimletea makundi, kondoo-dume elfu saba na mia saba na mbuzi-dume elfu saba na mia saba.+