2 Wafalme 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Alisikia ikisemwa hivi kumhusu Tirhaka mfalme wa Ethiopia: “Tazama, amekuja kupigana nawe.” Kwa hiyo akatuma wajumbe+ tena kwa Hezekia, na kusema: 2 Mambo ya Nyakati 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 akiwa na magari+ 1,200 na wapanda-farasi 60,000; na hawakuwa na hesabu+ wale watu waliotoka Misri pamoja naye —Walibya,+ Wasukii na Waethiopia.+ 2 Mambo ya Nyakati 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo Yehova akawashinda+ Waethiopia mbele ya Asa na mbele ya Yuda, na Waethiopia wakakimbia.
9 Alisikia ikisemwa hivi kumhusu Tirhaka mfalme wa Ethiopia: “Tazama, amekuja kupigana nawe.” Kwa hiyo akatuma wajumbe+ tena kwa Hezekia, na kusema:
3 akiwa na magari+ 1,200 na wapanda-farasi 60,000; na hawakuwa na hesabu+ wale watu waliotoka Misri pamoja naye —Walibya,+ Wasukii na Waethiopia.+