1 Wafalme 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mfalme Sulemani alimpa pia malkia wa Sheba kitu chochote alichotamani na kuomba, mbali na vitu alivyompa kwa ukarimu wake mwenyewe.* Baada ya hayo aliondoka na kurudi katika nchi yake, pamoja na watumishi wake.+ 1 Wafalme Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 10:13 w99 7/1 30-31 1 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:13 Mnara wa Mlinzi,7/1/1999, kur. 30-31
13 Mfalme Sulemani alimpa pia malkia wa Sheba kitu chochote alichotamani na kuomba, mbali na vitu alivyompa kwa ukarimu wake mwenyewe.* Baada ya hayo aliondoka na kurudi katika nchi yake, pamoja na watumishi wake.+