2 Mambo ya Nyakati 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mfalme Sulemani alimpa pia malkia wa Sheba kitu chochote alichotamani na kuomba, zaidi ya* vitu alivyomletea mfalme. Kisha akaondoka na kurudi katika nchi yake, pamoja na watumishi wake.+
12 Mfalme Sulemani alimpa pia malkia wa Sheba kitu chochote alichotamani na kuomba, zaidi ya* vitu alivyomletea mfalme. Kisha akaondoka na kurudi katika nchi yake, pamoja na watumishi wake.+