1 Wafalme 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mfalme Sulemani alimpa pia malkia wa Sheba kitu chochote alichotamani na kuomba, mbali na vitu alivyompa kwa ukarimu wake mwenyewe.* Baada ya hayo aliondoka na kurudi katika nchi yake, pamoja na watumishi wake.+
13 Mfalme Sulemani alimpa pia malkia wa Sheba kitu chochote alichotamani na kuomba, mbali na vitu alivyompa kwa ukarimu wake mwenyewe.* Baada ya hayo aliondoka na kurudi katika nchi yake, pamoja na watumishi wake.+