2 Mambo ya Nyakati 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Sulemani akamwambia mambo yake yote,+ hakuna jambo lolote lililofichwa kwa Sulemani ambalo hakumwambia yule malkia.+ Methali 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtu mwenye hekima atasikiliza na kupata mafundisho zaidi,+ naye mtu mwenye uelewaji ndiye anayepata mwongozo stadi,+ Methali 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+
2 Naye Sulemani akamwambia mambo yake yote,+ hakuna jambo lolote lililofichwa kwa Sulemani ambalo hakumwambia yule malkia.+
5 Mtu mwenye hekima atasikiliza na kupata mafundisho zaidi,+ naye mtu mwenye uelewaji ndiye anayepata mwongozo stadi,+
20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+