1 Wafalme 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye Sulemani akamwambia mambo yake yote.+ Hakuna jambo lolote lililofichwa kwa mfalme ambalo hakumwambia yule malkia.+ Methali 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtu mwenye hekima atasikiliza na kupata mafundisho zaidi,+ naye mtu mwenye uelewaji ndiye anayepata mwongozo stadi,+
3 Naye Sulemani akamwambia mambo yake yote.+ Hakuna jambo lolote lililofichwa kwa mfalme ambalo hakumwambia yule malkia.+
5 Mtu mwenye hekima atasikiliza na kupata mafundisho zaidi,+ naye mtu mwenye uelewaji ndiye anayepata mwongozo stadi,+