2 Mambo ya Nyakati 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na wafalme wote wa dunia walikuwa wakiutafuta+ uso wa Sulemani ili wasikie hekima+ yake, ambayo Mungu wa kweli alikuwa ametia moyoni mwake.+ Methali 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova mwenyewe anatoa hekima;+ kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi.+
23 Na wafalme wote wa dunia walikuwa wakiutafuta+ uso wa Sulemani ili wasikie hekima+ yake, ambayo Mungu wa kweli alikuwa ametia moyoni mwake.+