1 Wafalme 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na watu wote wa dunia walikuwa wakiutafuta uso wa Sulemani ili wasikie hekima yake ambayo Mungu alikuwa ametia moyoni mwake.+ Isaya 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na itakuwa katika siku hiyo+ kwamba patakuwa na mzizi wa Yese+ ambao utakuwa unasimama kuwa ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+ Mataifa yatamtafuta yeye ili kuuliza habari zake,+ na mahali pake pa kupumzikia patakuwa patukufu.+ Luka 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kwa maana nitawapa ninyi kinywa na hekima, ambayo wapinzani wenu wote wakiwa pamoja hawataweza kushindana nayo wala kubisha.+
24 Na watu wote wa dunia walikuwa wakiutafuta uso wa Sulemani ili wasikie hekima yake ambayo Mungu alikuwa ametia moyoni mwake.+
10 Na itakuwa katika siku hiyo+ kwamba patakuwa na mzizi wa Yese+ ambao utakuwa unasimama kuwa ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+ Mataifa yatamtafuta yeye ili kuuliza habari zake,+ na mahali pake pa kupumzikia patakuwa patukufu.+
15 kwa maana nitawapa ninyi kinywa na hekima, ambayo wapinzani wenu wote wakiwa pamoja hawataweza kushindana nayo wala kubisha.+