Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na Israeli wote wakasikia habari za uamuzi huo wa hukumu+ ambao mfalme alikuwa ametoa; nao wakaogopa kwa sababu ya mfalme,+ kwa maana waliona kwamba hekima+ ya Mungu ilikuwa ndani yake ili afanye uamuzi wa hukumu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 unapewa hekima na ujuzi;+ pia nitakupa mali na utajiri na heshima ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekutangulia amepata kuwa navyo,+ wala baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”+

  • Methali 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana Yehova mwenyewe anatoa hekima;+ kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi.+

  • Danieli 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Mungu wa kweli akawapa watoto hao wanne ujuzi na ufahamu katika maandishi na hekima yote;+ naye Danieli alikuwa akielewa maono na ndoto za aina zote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki