Mwanzo 49:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yuda ni mwana-simba.+ Mwanangu, utapanda kutoka mawindoni. Aliinama, alijinyoosha kama simba, na kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+ Hesabu 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Tazama, kikundi cha watu kitasimama kama simba,Na kama simba kitajiinua.+Hakitalala chini mpaka kile mawindo,Na damu ya waliouawa kitakunywa.”+ Hesabu 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Aliinama chini, akalala kama simba,Na, kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+Wale wanaokubariki ndio waliobarikiwa,+Nao wale wanaokulaani ndio waliolaaniwa.”+ Methali 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwovu hukimbia wakati hakuna anayemfuatilia,+ lakini waadilifu ni kama mwana-simba mwenye uhakika.+ Ufunuo 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini mmoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Tazama! Simba ambaye ni wa kabila la Yuda,+ mzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili akifungue kitabu hicho cha kukunjwa na mihuri yake saba.”
9 Yuda ni mwana-simba.+ Mwanangu, utapanda kutoka mawindoni. Aliinama, alijinyoosha kama simba, na kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+
24 Tazama, kikundi cha watu kitasimama kama simba,Na kama simba kitajiinua.+Hakitalala chini mpaka kile mawindo,Na damu ya waliouawa kitakunywa.”+
9 Aliinama chini, akalala kama simba,Na, kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+Wale wanaokubariki ndio waliobarikiwa,+Nao wale wanaokulaani ndio waliolaaniwa.”+
28 Mwovu hukimbia wakati hakuna anayemfuatilia,+ lakini waadilifu ni kama mwana-simba mwenye uhakika.+
5 Lakini mmoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Tazama! Simba ambaye ni wa kabila la Yuda,+ mzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili akifungue kitabu hicho cha kukunjwa na mihuri yake saba.”