26 Naye akachukua hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme;+ naye akachukua kila kitu.+ Naye akachukua ngao zote za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+
9 Basi Shishaki+ mfalme wa Misri akapanda kushambulia Yerusalemu, akachukua hazina za nyumba ya Yehova+ na hazina za nyumba ya mfalme.+ Akachukua kila kitu; kwa hiyo akazichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+