-
2 Mambo ya Nyakati 9:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Na kulikuwa na vipandio sita vilivyoelekea kwenye kile kiti cha ufalme, na kulikuwa na kiti cha miguu cha dhahabu kwenye kile kiti cha ufalme, (vilikuwa vimeunganishwa), na kulikuwa na mikono ya kiti upande huu na upande ule kando ya mahali pa kuketi, na simba+ wawili walisimama kando ya ile mikono ya kiti.+
-