Mwanzo 49:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yuda ni mwana-simba.+ Mwanangu, utapanda kutoka mawindoni. Aliinama, alijinyoosha kama simba, na kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+ Methali 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwovu hukimbia wakati hakuna anayemfuatilia,+ lakini waadilifu ni kama mwana-simba mwenye uhakika.+ Ufunuo 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini mmoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Tazama! Simba ambaye ni wa kabila la Yuda,+ mzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili akifungue kitabu hicho cha kukunjwa na mihuri yake saba.”
9 Yuda ni mwana-simba.+ Mwanangu, utapanda kutoka mawindoni. Aliinama, alijinyoosha kama simba, na kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+
28 Mwovu hukimbia wakati hakuna anayemfuatilia,+ lakini waadilifu ni kama mwana-simba mwenye uhakika.+
5 Lakini mmoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Tazama! Simba ambaye ni wa kabila la Yuda,+ mzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili akifungue kitabu hicho cha kukunjwa na mihuri yake saba.”