Methali 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sikilizeni, kwa maana ninasema juu ya mambo ya kwanza kabisa,+ nami ninaifungua midomo yangu kuhusu unyoofu.+ 2 Timotheo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu, ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima kwa ajili ya wokovu+ kupitia imani kuhusiana na Kristo Yesu.+
6 Sikilizeni, kwa maana ninasema juu ya mambo ya kwanza kabisa,+ nami ninaifungua midomo yangu kuhusu unyoofu.+
15 na kwamba tangu utoto mchanga+ umeyajua maandishi matakatifu, ambayo yanaweza kukufanya uwe mwenye hekima kwa ajili ya wokovu+ kupitia imani kuhusiana na Kristo Yesu.+