8 “Sasa njoo, iandike juu ya bamba pamoja nao, na uiandike katika kitabu,+ ili itumike kwa ajili ya siku ya baadaye, kuwa ushahidi mpaka wakati usio na kipimo.+
2 Yehova naye akanijibu na kusema: “Andika maono hayo, na kuyaweka waziwazi kwenye mabamba,+ ili anayeyasoma kwa sauti aweze kufanya hivyo kwa wepesi.+