Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 19:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Laiti sasa maneno yangu yangekuwa yameandikwa!

      Laiti yangekuwa yameandikwa katika kitabu!

  • Isaya 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Yehova akaniambia: “Jichukulie bamba kubwa+ na uandike juu yake kwa kalamu ya mwanadamu anayeweza kufa, ‘Maher-shalal-hash-bazi.’

  • Yeremia 36:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Chukua kitabu cha kukunjwa,+ uandike ndani yake maneno+ yote ambayo nimekuambia juu ya Israeli na juu ya Yuda+ na juu ya mataifa yote,+ tangu siku niliyosema nawe, tangu siku za Yosia, mpaka leo hii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki