Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na ikawa kwamba mara tu Musa alipomaliza kuandika maneno ya sheria hii katika kitabu mpaka yakaisha,+

  • Yeremia 45:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku+ mwana wa Neria alipoandika katika kitabu maneno haya kutoka kinywani mwa Yeremia+ katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, akisema:

  • Ezekieli 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nami nikaanza kuona, na, tazama! kulikuwa na mkono ulionyooshwa kunielekea,+ na, tazama! kitabu cha kukunjwa kilikuwa ndani yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki