Kumbukumbu la Torati 31:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na ikawa kwamba mara tu Musa alipomaliza kuandika maneno ya sheria hii katika kitabu mpaka yakaisha,+ Yeremia 45:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku+ mwana wa Neria alipoandika katika kitabu maneno haya kutoka kinywani mwa Yeremia+ katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, akisema: Ezekieli 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nikaanza kuona, na, tazama! kulikuwa na mkono ulionyooshwa kunielekea,+ na, tazama! kitabu cha kukunjwa kilikuwa ndani yake.+
24 Na ikawa kwamba mara tu Musa alipomaliza kuandika maneno ya sheria hii katika kitabu mpaka yakaisha,+
45 Neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku+ mwana wa Neria alipoandika katika kitabu maneno haya kutoka kinywani mwa Yeremia+ katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, akisema:
9 Nami nikaanza kuona, na, tazama! kulikuwa na mkono ulionyooshwa kunielekea,+ na, tazama! kitabu cha kukunjwa kilikuwa ndani yake.+