Ezekieli 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaniambia: “Mwana wa binadamu, kula unachoona. Kula kitabu hiki cha kukunjwa,+ uende, ukaseme na nyumba ya Israeli.” Ufunuo 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na ile sauti+ niliyosikia kutoka mbinguni inasema nami tena na kuniambia: “Nenda, kichukue kile kitabu cha kukunjwa kilichofunguliwa ambacho kimo mkononi mwa malaika ambaye amesimama juu ya bahari na juu ya dunia.”+
3 Naye akaniambia: “Mwana wa binadamu, kula unachoona. Kula kitabu hiki cha kukunjwa,+ uende, ukaseme na nyumba ya Israeli.”
8 Na ile sauti+ niliyosikia kutoka mbinguni inasema nami tena na kuniambia: “Nenda, kichukue kile kitabu cha kukunjwa kilichofunguliwa ambacho kimo mkononi mwa malaika ambaye amesimama juu ya bahari na juu ya dunia.”+