Ezekieli 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, sikia ninalokuambia. Usiwe mwasi kama ile nyumba yenye kuasi.+ Fungua kinywa chako ule ninachokupa.”+ Ufunuo 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nikaenda zangu kwa yule malaika na kumwambia anipe kile kitabu kidogo cha kukunjwa. Naye akaniambia: “Kichukue, ukile,+ nacho kitalitia tumbo lako uchungu, lakini kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali.”
8 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, sikia ninalokuambia. Usiwe mwasi kama ile nyumba yenye kuasi.+ Fungua kinywa chako ule ninachokupa.”+
9 Nami nikaenda zangu kwa yule malaika na kumwambia anipe kile kitabu kidogo cha kukunjwa. Naye akaniambia: “Kichukue, ukile,+ nacho kitalitia tumbo lako uchungu, lakini kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali.”