Hesabu 20:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Haruni atakusanywa kwa watu wake,+ kwa maana hataingia katika nchi ambayo nitawapa wana wa Israeli, kwa sababu ninyi mliasi agizo langu kuhusiana na maji ya Meriba.+ Isaya 50:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe amelifungua sikio langu, nami kwa upande wangu sikuwa mwasi.+ Sikugeuka upande ulio kinyume.+
24 “Haruni atakusanywa kwa watu wake,+ kwa maana hataingia katika nchi ambayo nitawapa wana wa Israeli, kwa sababu ninyi mliasi agizo langu kuhusiana na maji ya Meriba.+
5 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe amelifungua sikio langu, nami kwa upande wangu sikuwa mwasi.+ Sikugeuka upande ulio kinyume.+