16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+ na neno lako linakuwa kwangu furaha na kushangilia+ kwa moyo wangu;+ kwa maana jina lako limeitwa juu yangu,+ Ee Yehova Mungu wa majeshi.+
9 Nami nikaenda zangu kwa yule malaika na kumwambia anipe kile kitabu kidogo cha kukunjwa. Naye akaniambia: “Kichukue, ukile,+ nacho kitalitia tumbo lako uchungu, lakini kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali.”