Ezekieli 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaniambia: “Mwana wa binadamu, kula unachoona. Kula kitabu hiki cha kukunjwa,+ uende, ukaseme na nyumba ya Israeli.” Ufunuo 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nikakichukua kile kitabu kidogo cha kukunjwa kutoka mkononi mwa yule malaika kisha nikakila,+ nacho kinywani mwangu kilikuwa kitamu kama asali;+ lakini nilipokuwa nimekila, tumbo langu likatiwa uchungu.
3 Naye akaniambia: “Mwana wa binadamu, kula unachoona. Kula kitabu hiki cha kukunjwa,+ uende, ukaseme na nyumba ya Israeli.”
10 Nami nikakichukua kile kitabu kidogo cha kukunjwa kutoka mkononi mwa yule malaika kisha nikakila,+ nacho kinywani mwangu kilikuwa kitamu kama asali;+ lakini nilipokuwa nimekila, tumbo langu likatiwa uchungu.