Zaburi 119:103 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 103 Jinsi maneno yako yamekuwa laini katika kaakaa langu,Kuliko asali kinywani mwangu!+ Ezekieli 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, unapaswa kulisha tumbo lako, ili ujaze matumbo yako kwa kitabu hiki ninachokupa wewe.” Nami nikaanza kukila, nacho kikawa kitamu kama asali kinywani mwangu.+
3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, unapaswa kulisha tumbo lako, ili ujaze matumbo yako kwa kitabu hiki ninachokupa wewe.” Nami nikaanza kukila, nacho kikawa kitamu kama asali kinywani mwangu.+