Yeremia 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa nini unakuwa kama mtu aliyeshangazwa, kama mwanamume mwenye nguvu ambaye hawezi kuokoa?+ Na bado wewe upo katikati yetu,+ Ee Yehova, na jina lako limeitwa juu yetu.+ Usitukatishe tamaa.
9 Kwa nini unakuwa kama mtu aliyeshangazwa, kama mwanamume mwenye nguvu ambaye hawezi kuokoa?+ Na bado wewe upo katikati yetu,+ Ee Yehova, na jina lako limeitwa juu yetu.+ Usitukatishe tamaa.